
Hali ya kuwashwa matakoni
Hali ya mtu kuwashwa makalio na kujikuna sana husababishwa na mambo mbalimbali kama:-
Huu ni ugonjwa wa allergy ya ngozi husababisha ngozi kuwa kavu na kuwasha, hivyo kama una shida hii makalio yanaweza kuwasha.
Lakini pia shida hii huwa inapelekea ngozi kuwasha sana na kupata vipele fulani.
Fangasi sehemu za siri
Unapokua na fangasi ya kwenye uke au kwenye korodani fangasi hao wanawazea kusambaa kwenye makalio na kusababisha muwasho
Kuvaa nguo zinazohifadhi joto
Unapovaa nguo za ndani ambazo ni nzito pamoja na nguo zinazohifadhi joto kama vile jeans na tracksuits zinapelekea jasho kujikusanya kwenye makalio na kusababisha muwasho.
Ugonjwa wa mashilingi
Hii ni aina fangasi inayosababisha vipele vinavyoota kama shilingi na kuwasha
Kuwa na michirizi kwenye makalio
Michirizi ya ngozi hutokana na ngozi kutanuka kupita kiasi hadi kuachia, inaweza kuwa na maumivu, michubuko pamoja na muwasho
Kuvaa nguo za kubana;
Nguo za ndani zinazobana sana kama vile chupi na skin tights hubana ngozi kupita kiasi na kusababisha muwasho Vile vile kua na maambukizi ya minyoo,au kua na bawasiri, kuharisha nk kunaweza kusababisha muwasho makalioni.
Matibabu yake hutegemea na chanzo cha tatizo kikubwa zingatia usafi wa sehemu za siri kwa kuhakikisha unajisafisha vizuri na pia kama tatizo litaendelea kwa muda mrefu inashauriwa kumuona Daktari kwa ajili ya vipimo na uchunguzi wa kina zaidi.
Msaada na Ushauri, Binafsi-wasiliana nasi Moja kwa moja kupitia namba.
0711 556 377
DR LUTAMBI
Unquestionably consider that which you said. Your favourite reason appeared to be at the internet the easiest factor to understand
of. I say to you, I definitely get irked while other people think
about concerns that they plainly don’t recognize about.
You managed to hit the nail upon the highest and also outlined out the whole thing without having side
effect , other folks can take a signal. Will likely be back to get more.
Thanks
Ok understood
This is a topic which is near to my heart… Thank you!
Where are your contact details though?
Contact +255 711 556 377
Huwa nawashwa sana mkunduni haswa wakati wa usiku
Tafadhari wasiliana na Mtaalamu wetu kwa namba 0745 889 503